Wana wa Zakai, mia saba na sitini.
Na wa wana wa Bebai; Yehohanani, na Hanania, na Zakai, na Athlai.
Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akafanyiza kwa bidii sehemu nyingine, toka ugeukapo ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
Wana wa Zakai, mia saba na sitini.