Vilindi vimewafunikiza, Walizama vilindini kama jiwe.
Mimi umenilaza katika shimo la chini, Katika mahali penye giza vilindini.
Aliyewaongoza vilindini, kama farasi jangwani, wasijikwae?
Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu.