Bahari na ivume na vyote viijazavyo; Mashamba na yashangilie na vyote vilivyomo;
Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.
Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie, Bahari na ivume na vyote viijazavyo,
Bahari na ivume na vyote viijazavyo, Ulimwengu nao wanaokaa ndani yake.
ukawaambie watu wa nchi, Bwana MUNGU asema hivi, katika habari zao wakaao Yerusalemu, na katika nchi ya Israeli; Watakula chakula chao kwa kukitunza sana, na maji yao watayanywa kwa ushangao, nchi yao iwe ukiwa, kwa kukosa vitu vyote viijazavyo, kwa sababu ya udhalimu wao wote wakaao ndani yake.
maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.