Uingiapo katika shamba la mizabibu la jirani yako, utaweza kula zabibu za kukushibisha, kama upendavyo; ila usitie katika chombo chako.
Uingiapo katika mmea wa jirani yako waweza kuyapurura masuke kwa mkono wako; ila usisongeze mundu katika mmea wa jirani yako.
Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
Utalaaniwa uingiapo, utalaaniwa na utokapo,
Bwana atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.