Skip to Content

"uapo"

5 mara katika SUV

bali kwa sababu Bwana anawapenda, na kwa sababu alitaka kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu, ndiyo sababu Bwana akawatoa kwa mkono wa nguvu, akawakomboa katika nyumba ya utumwa, katika mkono wa Farao, mfalme wa Misri.

Agano alilofanya na Ibrahimu, Na uapo wake kwa Isaka;

Agano alilofanya na Ibrahimu, Na uapo wake kwa Isaka.

Naam, Israeli wote wameihalifu sheria yako, kwa kugeuka upande, wasiisikilize sauti yako; basi kwa hiyo laana imemwagwa juu yetu, na uapo ule ulioandikwa katika sheria ya Musa, mtumishi wa Mungu; kwa sababu tumemtenda dhambi.

Uapo aliomwapia Ibrahimu, baba yetu,