Nami nitapiga mishale mitatu kando-kando yake, kana kwamba ninapiga shabaha.
Kwamba nimefanya dhambi, nikufanyieje Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?
Nilikuwa katika raha, naye akanivunja-vunja; Naam, amenishika shingo, na kuniponda; Tena amenisimamisha niwe shabaha yake.
Yeye huifunika mikono yake kwa umeme; Na kuuagiza shabaha utakayopiga.
Kwa hiyo Mungu atawapiga shabaha, Kwa mshale mara watapigwa.