Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.
na mwanawe huyo ni Mika, na mwanawe huyo ni Reaya, na mwanawe huyo ni Baali;
wana wa Gideli, wana wa Gahari, wana wa Reaya;
wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda;