Sauti yao masheki ilinyamaa, Na ndimi zao zilishikamana na makaakaa yao.
Masheki watakuja kutoka Misri, Kushi itamnyoshea Mungu mikono yake mara.
Uwafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, Na masheki yao wote kama Zeba na Zalmuna.
Awafunge masheki wake kama apendavyo, Na kuwafundisha wazee wake hekima.