Skip to Content

"genge"

5 mara katika SUV

Na katikati ya mianya, ambayo Yonathani alitaka kuipitia ili kuifikilia hiyo ngome ya Wafilisti, palikuwa na genge la jabali upande huu, na genge la jabali upande huu; jina la moja liliitwa Bosesi, na jina la pili Sene.

Hilo genge moja limesimama upande wa kaskazini, mbele ya Mikmashi, na hilo la pili upande wa kusini, mbele ya Geba.

Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.

Ndiwe genge langu na ngome yangu; Kwa ajili ya jina lako uniongoze, unichunge.

Makadhi wao wakiangushwa kando ya genge, Watayasikia maneno yangu, maana ni matamu.