Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.
na kabila ya Gadi; na mkuu wa wana wa Gadi atakuwa Eliasafu mwana wa Deueli;
Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, mkuu wa wana wa Gadi
tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe wawili waume, na kondoo waume watano, na mbuzi waume watano, na wana-kondoo watano waume wa mwaka wa kwanza; hayo ndiyo matoleo ya Eliasafu mwana wa Deueli.
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.